iqna

IQNA

IQNA – Mtaalamu wa masuala ya kimataifa ameuelezea mpango wa kuanzishwa kwa bunge la Qurani la ulimwengu wa Kiislamu kama ramani ya njia kwa Ummah wa Kiislamu kuelekea umoja.
Habari ID: 3480624    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02

IQNA - Imamu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri, Sheikh Ahmed al-Tayeb amesafiri kwenda Bahrain kushiriki mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Kiislamu.
Habari ID: 3480243    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/20

Harakati za Kiislamu
IQNA - Mwanasiasa wa Malaysia amesisitiza kuhusu umuhimu wa kufuata Sira ya Mtukufu Mtume Muammad (SAW) kwa Umma wa Kiislamu ili kufikia umoja.
Habari ID: 3479588    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13

IQNA - Kongamano la 38 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu lilimalizika Jumamosi huku washiriki wakisisitiza umoja katika taarifa yao ya mwisho kama suluhu pekee la kusitisha ukatili wa Israel.
Habari ID: 3479470    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/22

Mkutano wa Waislamu
Toleo la 38 la Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu litafanyika katika mji mkuu wa Iran wa Tehran mwezi Septemba.
Habari ID: 3479062    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/03

Hija 2024
IQNA Afisa wa ngazi za juu wa Msafara wa Hija wa Iran amewataka Wairani wanaolekea katika ibada ya Hija mwaka huu kuzingatia zaidi Qur'ani Tukufu, masaibu yanayowakumba Waislamu wa Gaza na suala la umoja wa Waislamu wakiwa katika ibada ya Hija
Habari ID: 3478775    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/05

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mufti Mkuu wa Tajikistan amesisitiza ulazima wa kuwepo umoja katika ulimwengu wa Kiislamu ili kuiokoa Palestina kutokana na ukandamizaji na kukaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3478277    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/30

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Madagaska amesisitiza haja ya kuzingatia nukta za pamoja kwa ajili ya kujenga umoja kati ya Waislamu.
Habari ID: 3477695    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/07

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Harakati ya Lobi ya Kiyahudi ya Kizayuni duniani pamoja na washirika wake inataka kupenya na kuwa na ushawishi baina ya Waislamu na hivyo kuudhibiti Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3477660    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/27

Umoja wa Waislamu
BERLIN (IQNA) - Balozi wa Iran nchini Ujerumani na Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha al-Azhar ncini Misri walikutana mjini Berlin kujadili masuala muhimu yanayoukabili ulimwengu wa Kiislamu na jinsi ya kustawisha umoja na mshikamano kati ya Waislamu.
Habari ID: 3477590    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/12

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ulimwengu wa Kiislamu ambao una umoja na mshikamano ndicho kizingiti kikubwa zaidi kwa ubeberu wa dunia.
Habari ID: 3477530    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/01

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umekaribisha wito wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri wa kuimarisha umoja kati ya Waislamu ndani ya mfumo wa kanuni za Kiislamu.
Habari ID: 3476058    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/08

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi kwa mara nyingine tena
Habari ID: 3475791    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16

Mwanazuoni wa Ahul Sunna nchini Iran
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni mwandamizi wa Kisunni nchini Iran na mjumbe wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu yanaweza kutatuliwa kwa umoja.
Habari ID: 3475419    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24